Nataka kuhamia Zambia,ushauri

Cbrh

New Member
Dec 18, 2020
2
3
Habari wakuu,

-Kutokana na kudorora biashara yangu nimeamua kufunga biashara yangu dar na nimefikiria kufungua nchi jirani

-Nimefikiria nchi ya Zambia,ila kutokana na watu wengi kuwa na exposure naombe mnipe ufahamu

-Sheria zao kuhusu mtu kuhamia

-Maisha yao kwa ujumla

-Mji mzuri kwa biashara
-Mzunguko wa biashara na pesa
Kiasi nachoweza kuwekeza 30M.

Asanteni
 
Nenda kitwe,Ndola,Solwezi au Lusaka wabongo wapo kibao sana zaidi wakinga na wanyakyusa wanapiga hela za copperbelt huko.

Nilikuwa huko 2012 maisha ni mepesi tu lakini Passport yako ikigongwa BV pale boarder huko unafanya biashara vizuri tu.

Lakini kama huna leseni unalipia hela ya Canso kila siku,that time ilikuwa like Tsh.600/= kwa duka.

Utaratibu kwa passport hizi mpya unagongewa na muda ukiisha unakuja tena kuomba kuongeza.
 
Nenda kitwe,Ndola,Solwezi au Lusaka wabongo wapo kibao sana zaidi wakinga na wanyakyusa wanapiga hela za copperbelt huko.Nlikuwa huko 2012 maisha ni mepesi tu lakini Passport yako ikigongwa BV pale boarder huko unafanya biashara vizuri tu.Lakini kama huna leseni unalipia hela ya Canso kila siku,that time ilikuwa like Tsh.600/= kwa duka.Utaratibu kwa passport hizi mpya unagongewa na muda ukiisha unakuja tena kuomba kuongeza.
Nashkuru mkuu,
Je biashara gani inafanya vizuri zaidi kwenye miji hio,
Ushauri tafadhali.
 
Nenda kitwe...kamji kametulia
Fanya ukatembe ukasome mchezo
Mimi nlikaa kitwe sehemu za nkana,riverside,
Musenga farm na chingola sema dili zetu zilikuwa kukata skrepa huko

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom