Eliud Bunju
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 342
- 625
- Thread starter
- #21
Ata mke wang ananitia moyoKama umepapenda kwa hizo sababu ulizotoa ni bora uhamie huko, kuishi na waswahili nao ni mtihani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mke wang ananitia moyoKama umepapenda kwa hizo sababu ulizotoa ni bora uhamie huko, kuishi na waswahili nao ni mtihani...
Mi nakuja uko kwassb ni mwajiliwa serkalin najua ntapata nafuu flan na ntajitaid kulima sana mazao ya chakula na biasharaHao wavivu ndio uwageuze fursa, mimi nipo Tukuyu, hapa kila mtu ana migomba na Ng'ombe, bila ASAS sijui wateja wa maziwa wangetoka wap!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaSubiri corona iishe usije kupelekea watu case zaidi za corona wakati uwezo wa kuwahudumia ni mdogo..
Hats kuishi na watu wa mbeya nao ni mtihani.Msibani utashangaa mijitu ipo kulewa,mengine sisemi.Kama umepapenda kwa hizo sababu ulizotoa ni bora uhamie huko, kuishi na waswahili nao ni mtihani...
Hahaha...binadamu ni noma, wanatumia hadi gepu la msibani kufanya mambo....Hats kuishi na watu wa mbeya nao ni mtihani.Msibani utashangaa mijitu ipo kulewa,mengine sisemi.
Wanyakyusa msiba unakaa wik 3Hahaha...binadamu ni noma, wanatumia hadi gepu la msibani kufanya mambo....
Yes ni mbich sana miez mitano saivNilichoona bado ndoa yako changa!..