Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,634
- 22,571
Mkuu, Star times king'amuzi kikiisha zinabaki ch idadi 8! Wameanza lini?duuuuuh kumbe hawa jamaa ni mashetan duuuh wakat startime dish wanaacha dish channel 8 bure
kuna madish ya aina 3 kuna la laki na kumi kuna la elfu 80000 na kuna la starsatMkuu, Star times king'amuzi kikiisha zinabaki ch idadi 8! Wameanza lini?
Maana nijuavyo, huwa wanabakisha ch idadi2, ie: Tbc na Tv1 basi.
Acha uongo wanakata zoteduuuuuh kumbe hawa jamaa ni mashetan duuuh wakat startime dish wanaacha dish channel 8 bure
aiseeee itakua wanafanyiziwa auUnahamia kwenye kero mkuu no signal za kutosha na sav ikitokea wingu ni shida kifupi bado hawako vzr mm mwenyewe nataka nihamie azam.yaan hawako vzr
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu wao wakimaliza kupima UTI labda ndipo wataangalia WALAJI wanateseka kiasi gani! Labda vingekuwa vya kina Manji wangevishughulikia lakini kwa sababu vinamilikiwa na wana wapendwa acha Watanzania tulipie gharama za CCMVing'amuzi ni majanga kwa sasa na wahusika wapo kimya tu
Hiyo itakuwa antenaUNA CHA DISH AU ANTENNA?
well saidWakuu wao wakimaliza kupima UTI labda ndipo wataangalia WALAJI wanateseka kiasi gani! Labda vingekuwa vya kina Manji wangevishughulikia lakini kwa sababu vinamilikiwa na wana wapendwa acha Watanzania tulipie gharama za CCM
Hahahahaa Mkuu UmeuaContinental bado sana kuna wakati mziki ukichezwa unazizima kama redio iliyoishiwa betri!! Wanakera sana .
Sent using Jamii Forums mobile app
Startimes sasa hivi wamejirekebisha mno sasa mambo ni safi ispokua lazima ulipie ndo uone channels ila wamebadilika sana kiukweli wapo vizuri ila kwa sasa nataka continental
Vipi kwa watumiaji wa continental decoder?Kisimbusi chao kwa sasa kina ubora? Nataka nikanunue cha continental
Vipi wana local channels
Vipi ubora wa picha ukilinganisha na ving'amuzi vingine
Vipi ubora wa picha za channel zao hususani zile za star bunge, star drama, star e, star tollywood, nk?Zina ubora wa hd?
Vipi vifurushi?