Nataka kuhama Bongo

Ninaomba njia ulizotumia ukafika juu haraka (kwa mda mfupi) coz mimi pia nahitaji mafanikio haya

Ndio pesa ninayo wala si Kidogo

https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/531938-nijiingize-shambani-au-nifuge-kuku-wa-kienyeji-kwa-mtaji-wa-laki-mbili.html

https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/689642-ujenzi-wa-ghorofa-tatu.html
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/683137-kazi-ya-kuajiriwa.html
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/675108-natafuta-mbuzi-4-wa-maziwa-niko-tengeru-arusha.html
https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/284893-nina-milioni-20-je-nifanye-nayo-biashara-gani.html
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/585669-nataka-kununua-gari-sasa.html
 
Yaani unashangaa mtzania wa kawaida kuhama nchi ?Kweli bado tz iko nyuma
Haya bhana Liberia nigeria cameroni hizi ndio poa kwa sasa,au piga somalia sudani kusini kote barida tu!
 
Mpendwa Apo,
Kwa heshima nawe nakutakia heri, Chukuwa ushauri huu bure tu !! Nakupa nasiha, Nakusihi huko nje siyo kama unavyofikiia!!
Kama utaweza kuniPm, ntakupa siri ya kujikimu hapa hapa nyumbani. ila ukiwa na vigezo vya kwenda nje tawakali mustakabali upo kote.
 


Asante mkuu

Karibuni Kibera hapa fursa ni za kumwaga
 
Asante mkuu

Karibuni Kibera hapa fursa ni za kumwaga

ok sawa mkuu,hapo nikon camera d 40, d 3000 series au cannone 1000 series mpya au used zinakwenda bei gani kwa dola au bhats? Na ni mitaa ipi zinapatikana sana hapo bangkok?
 
Chagua kati ya nchi hizi mi nakutafutia visa ya kudumu....Iraq, Syria, Somaly, Sudan (south &west), Palestina au Libya... Hizi nilizotaja zina utajiri mkubwa wa mafuta, unaishi km upo paradise
Umesahau na South, Sudan,Kongo,Liberia,Ukraine,Cameroon,Chad,Mexicao,CAR,South Thailand,Colombian,Northeast India,Northern Mali,West Papua,Peru,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…