mzee wa wazee
Member
- Nov 1, 2010
- 70
- 18
Ameona mwanga wa radi nje akadhani kumekucha!ahaaahaa rudi kalale dogo,kukikucha utaamshwa tu,tutakwenda pamoja,hatuwezi kukuacha bwana mdogo sawa eeh?
View attachment 63521
JINA-Moses K. Lorri
NATIONALITY-Tanzanian
EDUCATION-BED PSYCHOLOGY 2008 UDSM
CURRENT POSITION-College tutor
PLACE OF BIRTH-Endallah village in Karatu district.
POLITICAL PARTY-CHADEMA.
AGE----31 years old
Ndugu zangu watanzania,naomba kuchukua nafasi hii kuwajulisha kwamba nimeamua kuchukua uamuzi mgumu kugombea ubunge katika jimbo la karatu kupitia chama cha demokrasia na maendeleo.Lengo hasa ni kuwatumikia wananchi wa karatu kwa uadilifu. Nimeamua kufanya hivi kwa kuwa kwanza ni haki yangu kikatiba na pili nina uwezo wa kutosha kwa kushirikiana na wananchi wa karatu ili tuweze kuleta maendeleo kwa pamoja.Naomba vijana wote wa kitanzania kuniunga mkono kwa hili ninalotaka kufanya.
AHSANTENI SANA
hongera sana ila hapo si kuna mbunge au?na ana mapungufu gani na uliwasiliana na uongozi kabla ya kusema haya?na je unaona ni muda sahihi wa kusema hayo kwa sasa?na je hauna njia nyingine ya kulisaidia jimbo lako zaidi ya kugombea ubunge?
Nijibu
nimejidhihirishia kuwa naweza kugombea,kwani mnanikubali
nimejidhihirishia kuwa naweza kugombea,kwani mnanikubali
Kama hauna undugu na Slaa au Josephine au Mbowe au Mtei au Ndesamburo, sahau.
kama kagasheki na familia yake,makamba na januari,mwinyi mstaafu na husein,abdalah mwinyi.VITA KAWAWA,RASHID KAWAWA,ZAINAB KAWAWA.