Nataka kufuta kabisa akaunti ya facebook

Nataka kufuta kabisa akaunti ya facebook

SAYANSI

Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
6
Reaction score
1
Mimi nahitaji kufuta kabisa akaunti ya facebook jumla isiwepo kabisa lakini sioni sehemu ya kufutia akaunti ya facebook.nauliza kama nataka kufuta kabisa akaunti ya facebook nifanyaje?
 
Mimi nahitaji kufuta kabisa akaunti ya facebook jumla isiwepo kabisa lakini sioni sehemu ya kufutia akaunti ya facebook.nauliza kama nataka kufuta kabisa akaunti ya facebook nifanyaje?

Me pia nilishafuta yangu ila sidhani kama nakumbuka vzr process ila ipo kwenye setting
 
Me pia nilishafuta yangu ila sidhani kama nakumbuka vzr process ila ipo kwenye setting

Kwenye setting nikiingia nakuta option ya ku DEACTIVATE akaunt lakini option ya ku DELETE siioni.
 
Me pia nilishafuta yangu ila sidhani kama nakumbuka vzr process ila ipo kwenye setting
.
Ulichokifanya wewe uli DEACTIVATE ACCOUNT ikiwa na maana huwezi kuonekana FB lakini muda wowote unaweza kuingia! Ok?
.
Kwenye setting nikiingia nakuta option ya ku DEACTIVATE akaunt lakini option ya ku DELETE siioni.

.
Sikiliza bwana mdogo
kwenye Facebook plofile hutakuja kukutana na option kama hiyo!
.
Zamani ilikuwa una send email kwao jamaa kisha wana kusabababishia
.
Ila kwa sasa inapatikana kwenye facebook help center
ila sio kwenye facebook profile kama unavyo dhani
ingia kwenye hiyo link hapo juu niliyokupa.....
.
Mambo yatajipa!
 
Hata Mm pia mtakuwa mmenisaidia wandugu, lkn hii link ya permanent Facebook account deletion unaingilia au unatype wp? Google au wp wandugu?
 
.
Ulichokifanya wewe uli DEACTIVATE ACCOUNT ikiwa na maana huwezi kuonekana FB lakini muda wowote unaweza kuingia! Ok?
.


.
Sikiliza bwana mdogo
kwenye Facebook plofile hutakuja kukutana na option kama hiyo!
.
Zamani ilikuwa una send email kwao jamaa kisha wana kusabababishia
.
Ila kwa sasa inapatikana kwenye facebook help center
ila sio kwenye facebook profile kama unavyo dhani
ingia kwenye hiyo link hapo juu niliyokupa.....
.
Mambo yatajipa!

Nimeingia kama ulivyo sema nika login baada ya hapo sikuoni cha kufanya.Je Kama Nimesha Login In Kwenye Hiyo Link Ina Akaunti Itafutika.Maana Nimeingia Na Akaunti Imefunguka Kama Kawaida Na Option Ya Kudete Sikuiona.
 
Nimeingia kama ulivyo sema nika login baada ya hapo sikuoni cha kufanya.Je Kama Nimesha Login In Kwenye Hiyo Link Ina Akaunti Itafutika.Maana Nimeingia Na Akaunti Imefunguka Kama Kawaida Na Option Ya Kudete Sikuiona.

.
Sasa kaka hakikisha umeisha log in kwanza ndipo u click hiyo Link!
.
Got Em ?
.
 
facebook ndio nini"!!??

.
Kaka/dada kwa mfano wewe
.
Ukichukua kitabu afu ukawa una kitazama hapo tutasema una FACEBOOK
.
kwahiyo FACEBOOK mana yake ni KUKITAZAMA kitabu ?
.
 
Kutaka kufunga f/b account sio bure iko neno sema kweli yako.
 
kufuta akaunti ya facebook ni kazi ngumu kweli.Kuna watu waliniambia haiwezekani kuifuta.ujue mimi nilijua ku deactivate ndo ku delete kumbe siyo.sasa kilicho kuwa kina nichanganya na deactivate lakin niki login in inafunguka.Leo hii ndo nimejua namna ya kudelete.
 
.
Ulichokifanya wewe uli DEACTIVATE ACCOUNT ikiwa na maana huwezi kuonekana FB lakini muda wowote unaweza kuingia! Ok?
.


.
Sikiliza bwana mdogo
kwenye Facebook plofile hutakuja kukutana na option kama hiyo!
.
Zamani ilikuwa una send email kwao jamaa kisha wana kusabababishia
.
Ila kwa sasa inapatikana kwenye facebook help center
ila sio kwenye facebook profile kama unavyo dhani
ingia kwenye hiyo link hapo juu niliyokupa.....
.
Mambo yatajipa!

Ok, basi me nikajua ndo nimedelete, sasa na ww siudeactivate tu alimradi hawakuoni inatosha
 
Back
Top Bottom