Hutokuwa wa kwanza mzee, mwaka jana broo wangu akifunga ndoa kama hiyo, yy alienda na mashahidi tu na wakezi coz wazaz walikuwa mbali, ngoma ikaisha wakarudi home , jtatu akarudi kazini, pasaka akawakutanisha wazazi wa pande zote kwa kasherehe kadogo, maisha yanaendelea.