DUMEGUY JF-Expert Member Aug 15, 2014 500 204 Jan 17, 2017 #1 Nilijaza leaving cert. kimakosa kwenye tarehe badala ya 7 nilijaza 17. Swali je nifuate hatua gani ili tarehe niziweke ziwe sawa. Ahsante
Nilijaza leaving cert. kimakosa kwenye tarehe badala ya 7 nilijaza 17. Swali je nifuate hatua gani ili tarehe niziweke ziwe sawa. Ahsante
Mtetezi.com JF-Expert Member Oct 6, 2016 3,134 3,568 Jan 17, 2017 #2 Kwani hizo siku kumi zina tatizo gani ktk maisha yako ya kawida ukiacha vyeti?
Castr JF-Expert Member Apr 5, 2014 31,986 64,022 Jan 17, 2017 #3 Sijajua kwa siku hizi ila kipindi mimi namaliza o level, leaving ulikua unairekebishia hapo hapo shuleni kwakua wao ndiyo watengenezaji. Rudi shule, ingia ofisi ya mwalimu wa taaluma mueleze hilo swala. Ila leaving haina maana yoyote kama una cheti.
Sijajua kwa siku hizi ila kipindi mimi namaliza o level, leaving ulikua unairekebishia hapo hapo shuleni kwakua wao ndiyo watengenezaji. Rudi shule, ingia ofisi ya mwalimu wa taaluma mueleze hilo swala. Ila leaving haina maana yoyote kama una cheti.
Distinction JF-Expert Member Sep 20, 2014 713 360 Jan 18, 2017 #5 Castr said: Sijajua kwa siku hizi ila kipindi mimi namaliza o level, leaving ulikua unairekebishia hapo hapo shuleni kwakua wao ndiyo watengenezaji. Rudi shule, ingia ofisi ya mwalimu wa taaluma mueleze hilo swala. Ila leaving haina maana yoyote kama una cheti. Click to expand... ujapitia mabonde na milima ndugu yangu ndo maana unasema leaving haina maana. mtoa Nada nenda shuleni watakurekebishia tu.
Castr said: Sijajua kwa siku hizi ila kipindi mimi namaliza o level, leaving ulikua unairekebishia hapo hapo shuleni kwakua wao ndiyo watengenezaji. Rudi shule, ingia ofisi ya mwalimu wa taaluma mueleze hilo swala. Ila leaving haina maana yoyote kama una cheti. Click to expand... ujapitia mabonde na milima ndugu yangu ndo maana unasema leaving haina maana. mtoa Nada nenda shuleni watakurekebishia tu.
Castr JF-Expert Member Apr 5, 2014 31,986 64,022 Jan 18, 2017 #6 Distinction said: ujapitia mabonde na milima ndugu yangu ndo maana unasema leaving haina maana. mtoa Nada nenda shuleni watakurekebishia tu. Click to expand... Ndiyo nikasema kama una cheti. Kama huna ni mwokozi wako kwa ajira na mambo ya vitambulisho vya uraia.
Distinction said: ujapitia mabonde na milima ndugu yangu ndo maana unasema leaving haina maana. mtoa Nada nenda shuleni watakurekebishia tu. Click to expand... Ndiyo nikasema kama una cheti. Kama huna ni mwokozi wako kwa ajira na mambo ya vitambulisho vya uraia.
NileSat JF-Expert Member Mar 31, 2015 340 179 Jan 18, 2017 #7 Mkuu kama una cheti(Academic) Leaving certificate Haina maana yoyote
zunya JF-Expert Member Sep 2, 2014 1,484 991 Jan 18, 2017 #8 leaving inamilikiwa na shule uliyosoma... nenda kwa academic mwambie anabadilisha tu tarehe kwa kukupa leaving mpya kabisa
leaving inamilikiwa na shule uliyosoma... nenda kwa academic mwambie anabadilisha tu tarehe kwa kukupa leaving mpya kabisa
Chaliifrancisco JF-Expert Member Jan 17, 2015 23,526 70,386 Jan 19, 2017 #9 DUMEGUY said: Nilijaza leaving cert. kimakosa kwenye tarehe badala ya 7 nilijaza 17. Swali je nifuate hatua gani ili tarehe niziweke ziwe sawa. Ahsante Click to expand... Leaving unapeleka wapi kwani. Hiyo hata ukiichoma haina tatizo. Labda kwa kumbukumbu tu ila sijawahi kuona matumizi yake
DUMEGUY said: Nilijaza leaving cert. kimakosa kwenye tarehe badala ya 7 nilijaza 17. Swali je nifuate hatua gani ili tarehe niziweke ziwe sawa. Ahsante Click to expand... Leaving unapeleka wapi kwani. Hiyo hata ukiichoma haina tatizo. Labda kwa kumbukumbu tu ila sijawahi kuona matumizi yake
C Charming0022 New Member Oct 11, 2023 2 0 Oct 12, 2023 #11 DUMEGUY said: Nilijaza leaving cert. kimakosa kwenye tarehe badala ya 7 nilijaza 17. Swali je nifuate hatua gani ili tarehe niziweke ziwe sawa. Ahsante Click to expand... Habari
DUMEGUY said: Nilijaza leaving cert. kimakosa kwenye tarehe badala ya 7 nilijaza 17. Swali je nifuate hatua gani ili tarehe niziweke ziwe sawa. Ahsante Click to expand... Habari
C Charming0022 New Member Oct 11, 2023 2 0 Oct 12, 2023 #12 Charming0022 said: Habari Click to expand... Samahani naomba kuuliza uliweza kurekebisha hizo tarehe kwenye leaving certificate?
Charming0022 said: Habari Click to expand... Samahani naomba kuuliza uliweza kurekebisha hizo tarehe kwenye leaving certificate?
Mangungo II JF-Expert Member Jul 6, 2012 18,022 26,348 Oct 12, 2023 #13 Hivi Kuna ofisi siku hizi inataka leaving certificate