Nataka kuanza kuuza juisi na maziwa bar, ushauri wenu tafadhali

Aziwero

Member
Jan 16, 2017
15
20
Habari wanajukwaa.

Kwa muda kidogo nimekua nikifuatilia sana biashara ya juice na maziwa imekua ikinipendeza sana na nataka kuona kama naweza nikaimudu! Naomba msaada wa kujua vitu muhimu vinavyohitajika kwa hiyo biashara na gharama zake kwa ujumla!

Ahsanteni
 
Back
Top Bottom