bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,668
Ndiyo uachane na shule nikupoteza muda, kitu kimoja utambue muda wa kutafuta pesa ni limited ukifika 50yrs huna pesa za kueleweka sahau kuwa hela tena.Elimu ya ujasiriamali ninayo tayari na ninaifanyia kazi