Sikurudia mtihani kwa maana sikuwahi kuufanya.
Ila nilifanyia kituo cha Yeshua
Mnaenda darasani kila siku?Dar es salaam Tandika Mango
Upo mpwpw sehem gan dr. Nipo hapa kikomboMwaka 2005mwalimu mchungaji komba aliamua kumuandikisha mke wake fom one ktk shule ya kolila , mkp tunapozungumza sasa HV Yule mam Ni headmaster wa shule moja hapa mpwampwa ddm
Dar es salaam Tandika Mango
Hongera, Mwambie Mr akutoe out kwa ajiri ya pongezi, wewe ni shujaa
Mwenzako kapokea matokeo yake ya form six janaHakuna jipya huko secondary. Kama unajua kusoma na kuandika, english na hesabu kidogo inatosha sana.
Muhimu ni kuwa karibu na teknolojia utajifunza mengi kuliko huko mashuleni.
Muhimu zaidi tafuta pesa shule ni utapeli
Sawa we cha kufanya usipeleke wanao shule. Wafundishe kusoma na kuandika kisha peleka English course wasome na hesabu utakuwa umefanya vyema mkuu. Wakimaliza tu hilo darasa la sita.Hakuna jipya huko secondary. Kama unajua kusoma na kuandika, english na hesabu kidogo inatosha sana.
Muhimu ni kuwa karibu na teknolojia utajifunza mengi kuliko huko mashuleni.
Muhimu zaidi tafuta pesa shule ni utapeli
Ndio naweza fanya hivi nikawapatia maarifa muhimu ya maisha na wakamuacha huyo mwanao anaeenda shule kukaririshwa akimaliza aje alilie ajiraSawa we cha kufanya usipeleke wanao shule. Wafundishe kusoma na kuandika kisha peleka English course wasome na hesabu utakuwa umefanya vyema mkuu. Wakimaliza tu hilo darasa la sita.
Shukran.
AhsanteHongera sana,waliokuwa wanakukatisha tamaa Leo hawana la kusema,umri ni namba TU.
Sent using Jamii Forums mobile app