Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 27,126
- 50,609
Baambie baelewe....mwanaume aliekamilika ni mwiko kukimbia majukumu
Baambie baelewe....mwanaume aliekamilika ni mwiko kukimbia majukumu
Usiwaze mwalimuNgoja nizidishe adabu, ukute Baba K hivi anavyoniangalia najua ananiangalia Kwa upendo kumbe anawaza ananiacha lini Ili atue mzigo
Sa ntaenda wapi nyiee
Wazo zuri mno1. Atambue kwamba "ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kufika mbali nendeni wengi"
2. Akumbuke kwamba Mwanamke sio ndugu yake, hivo akishindwa kabisa kuhudumia basi huyo mwanamke ataondoka na atamuacha na madeni
3. Mwisho, Hatujui alikotoka na hatujui life style yake na kwao, aende kwa wazazi wake aweke wazi kila kitu wao watamshauri kutokana na
i/ Walivomlea
ii/ wanavomfahamu mke wake
iii/ watamfunua kama kuna changamoto za kiroho
🙏
Na hivi mshahara mdogo, hii ndoa ndo part time job yangu mwenzenu🤣🤣🤣 Nikiachwa nitapauka more🤣Usiwaze mwalimu