Nataka kuachana na mwanamke

Hela siku zote huwa haitoshi
Lakini muhimu ni kuwa na nidhamu ya pesa na kuishi kulingana na kipato
Huwezi kupata milioni ukaishi kwa milioni kumi
Lazima uone maisha ni magumu

Kwa milioni unayolipwa mkeo ukimlipa laki tatu kwaajili ya matumizi ya mwezi na ukanunua vyakula vya laki moja ni kiboss sana hiyo
mko wawili tu na mtoto
Laki tatu ukitia kwenye biashara bado una hela nyingi tu
kama ni mtu wa tungi angalau kwa wiki mara moja siyo mbaya kwa sababu hakuna tuzo wala pombe si ugali
 
1. Atambue kwamba "ukitaka kwenda haraka nenda peke yako ila ukitaka kufika mbali nendeni wengi"

2. Akumbuke kwamba Mwanamke sio ndugu yake, hivo akishindwa kabisa kuhudumia basi huyo mwanamke ataondoka na atamuacha na madeni

3. Mwisho, Hatujui alikotoka na hatujui life style yake na kwao, aende kwa wazazi wake aweke wazi kila kitu wao watamshauri kutokana na
i/ Walivomlea
ii/ wanavomfahamu mke wake
iii/ watamfunua kama kuna changamoto za kiroho

🙏
Wazo zuri mno
 
Back
Top Bottom