Nataka kuachana na mwanamke

Twende

pamoja, kivipi?
Je mkeo ana matumizi mabaya ya pesa? Ungesimamia matumizi ya pesa kama mwanaume. Kama mkeo hatumii vibaya pesa yake, makosa ni yako kwa kutokaa chini na kufikiria kuwa kwanini biashara zako zinafeli? Unalalamika as if mwanamke kaleta gundu wakati sio kweli, vyakula vimepanda bei, Kuna inflation ya kutisha, ulibidi ufanye mpango uanzishe biashara nyingine.

Ndo maana nikasema wewe ni tatizo, unamsingizia mwanamke.
 
Huyo jamaa anadhani wote waliooa wanalipwa tsh ngapi?
Hapo tatizo ni planning ndio mbovu....mwisho wa siku lawama zinaenda kwa mke wake. Kuyakimbia majukumu ni kusogeza tabu mbele ili ije ikukabili kisawasawa.
Anataka kuwa kama mimi huko ndani nadhani kugumu, imefika wakati ata wazazi wake wanamlaumu kuwa hawatumii pesa, hana kila kitu πŸ€”πŸ€”
 
Maisha ni magumu.

Pesa haijawahi kutosha.

Aache kuendekeza ikiwezekana hata kama ni kushindia uji washindie.

Ukiendekeza mwanamke utabaki nyuma milele.

Hawanaga huruma na pesa zako πŸ˜‚
Ili uweze kuishi na mwanamke vizuri zingatia haya
1..daima wewe ndo uwe na kipato kikubwa
2..hakikisha linapokuja swala la kudinyana Somalia ukucha mpaka kuhamka asubuhi anakusalimia shikamoo Baba
3..uwe na kauli moja ndani hapana au ndio
4..akikukosea mkalishe chini kama mtoto,na ikiwezekana achezee mbata achana na wazungu eti haki sawa mwanaume daima yupo juu ya mwanamke hakuna cha haki sawa.
5..akitaka kwenda kwa ndugu zake aombe ruhusa sio anajiamuria
Mimi hii mbinu kanipa babu yangu mwenye wake 4 na watoto 27,mpaka sasa hakuna mwanamke aliyeachana naye toka aingie kwenye ndoa nao wote.
Baba ana wanawake 3 na watoto 15
Wote heshima debe kudadekiii
 
Anataka kuwa kama mimi huko ndani nadhani kugumu, imefika wakati ata wazazi wake wanamlaumu kuwa hawatumii pesa, hana kila kitu πŸ€”πŸ€”
Wanaume tunahangaika sana....kuna muda huwa nafikiri hapa ndo jehanamu penyewe....maana mtu akifa anaambiwa apumzike kwa amani. This world is hell itself.
 
Bajeti anapanga mke, maana akianza kumpangia gharama za chakula, kuhudumia mtoto na yeye mwenyewe, jamaa anabakia na pesa ya kuangalia mechi za epl tu vibanda umiza ni shabiki wa arsenal 😳😳😳
Shida sio Mwanake, tatizo liko kwake!

Anapangiwa bajeti asiyo imudu!? tena familia bado ndogo sana, yan mtoto 1. na pengine hajaanza shule!

Mwamba amefeli pakubwa! Ukishakuwa baba, kuna mambo yakupasa kufanya maamuzi magumu, eg, kupunguza bajeti isiyo na tija, kuwekeza katika maendeleo.

Azungumze kwa upole na mke wake juu ya mipango ya maendeleo na waone namna watakavyo ifanikisha, akimshirikisha kwa pamoja wataona matumizi yapi yanafaa yapi hayafai.
 
Ndugu yangu pole sana
Lkn pia HONGERA kwa kupata mke na kukuzaria mtoto

NDOA ni mjumuiko wa mambo mengi sana
Kuna mabo kadhaa nitakuwa ambapo naimani utapata MUONGOZO wa ndoa
awalo ya yote ningependa kujua upo katika NDOA ya IMANO gani UKIRISTO au UISLAM
 
Kwahiyo aendelee tu na noma yake ?πŸ€”πŸ€”
 
Aliogopa ya kufa kufaana (kikristo)
Akafunga ya serikalini (Kusajiri) siyo kidini.
 
Pole mkuu,kama unaona kumhusisha wife mambo hayaendi go on your own....mie kinachonisaidia yeye ndo mtumishi so budgeting ya kipato chake anaifanya kwa uhuru huku mimi niikipambana kivyangu.
Sijaelewa kwa hiyo jamaa awe anaenda kufanya mahemezi ya ndani na huduma zote mwenyewe?
 
Wewe acha uongo shs 900,000/= wewe, mkeo na mtoto mdogo hazitoshi! Acha hizo. Unga kilo 10 sh.20,000/= unawatosha mwezi, mchele kilo 15 sh 35,000/= unawatosha mwezi, sukari kilo 2 sh 6,000/= zinatosha mwezi, nyama kilo 8 kwa mwezi sh 64,000/= zinawatosha mwezi, mpaka hapa vitu muhimu bado unazo pesa nyingi sana za mboga. Sema wewe ni mtu wa viti virefu na totoz, vinginevyo humu tumo wengi tunaojua matumizi ya familia kubwa zaidi ya yako, tupe ukweli wako acha kujikweza.
 
mke ndiye mpanga bajeti...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…