Nataka chukua mkopo benki

Nataka chukua mkopo benki

Doji MD

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,472
Reaction score
5,322
Habari, nimehitimu chuo(Lingusitic teacher) ninawazo lakufungua photo na local video production (Songea)

Nataka ingia bank omba mkopo (3mil.) kwaajili ya printer navifaa vingine.
Camera nacomputer ninavyo tayari.

Mnishauri wakuu, maana dhamana nataka weka hati ya nyumba ya urithi lenye eneo ukubwa unaokaribia nusu hekari,
 
Sikumbuki niliona wapi, ila wanasemaga kwamba pesa ya kuanzia biashara(mtaji) make sure unaitafuta cash sio kwa kukopa sababu kwenye biashara inaweza tokea bahati mbaya ikaenda sivyo ndivyo ukapata hasara. Ikitokea hivyo ule mkopo utaulipa na nini? Bank hawana mchezo watakubebea hiyo nyumba.
 
Kwanza hakuna Bank watakupa mkopokwa biashara inayoanza.
Benki bwana. Ukiwa na biashara ili wakupe mkopo wantaka dhamana, ukiwa na dhamana na unataka mkopo wanataka biashara. Yaani ili ukope benki unatakiwa kuwa na dhamana na biashara. Ni ngumu sana kwa anayeanza. Walau ingetokea benki inakopesha wenye dhamana na wanataka kuanza business.
 
Sikumbuki niliona wapi, ila wanasemaga kwamba pesa ya kuanzia biashara(mtaji) make sure unaitafuta cash sio kwa kukopa sababu kwenye biashara inaweza tokea bahati mbaya ikaenda sivyo ndivyo ukapata hasara. Ikitokea hivyo ule mkopo utaulipa na nini? Bank hawana mchezo watakubebea hiyo nyumba.
Biashara ilishaanza, kuna baadhi order pia zipo kazini..lakin haijasajiliwa
 
Benki bwana. Ukiwa na biashara ili wakupe mkopo wantaka dhamana, ukiwa na dhamana na unataka mkopo wanataka biashara. Yaani ili ukope benki unatakiwa kuwa na dhamana na biashara. Ni ngumu sana kwa anayeanza. Walau ingetokea benki inakopesha wenye dhamana na wanataka kuanza business.
nikweli
 
Mil 3 kwa studio ya video production ni ndogo. Hata kama unataka iwe local, bado mil 3 ni ndogo.
 
Benki bwana. Ukiwa na biashara ili wakupe mkopo wantaka dhamana, ukiwa na dhamana na unataka mkopo wanataka biashara. Yaani ili ukope benki unatakiwa kuwa na dhamana na biashara. Ni ngumu sana kwa anayeanza. Walau ingetokea benki inakopesha wenye dhamana na wanataka kuanza business.
Wao utetezi wao ni kwamba wanataka ulipe huo mkopo kutokana na hiyo biashara na sio wachukue dhamana yako (nyumba au kiwanja)

Na biashara wanataka uwaoneshe mahesabu yaliyosimama na yanayoonyesha matumaini...ndio maana ukiwaambia unaanza "wanakupandishia vioo".
 
Wao utetezi wao ni kwamba wanataka ulipe huo mkopo kutokana na hiyo biashara na sio wachukue dhamana yako (nyumba au kiwanja)

Na biashara wanataka uwaoneshe mahesabu yaliyosimama na yanayoonyesha matumaini...ndio maana ukiwaambia unaanza "wanakupandishia vioo".
mkuu, hivyo nitumie mbinu gani nyingine nifanikishe wazo langu..
 
Mil 3 kwa studio ya video production ni ndogo. Hata kama unataka iwe local, bado mil 3 ni ndogo.
kwa eneo nilililopo na budget yake naona inafaa kwakuanzia maana camera navifaa vichache sana vipo
 
Back
Top Bottom