May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,367
- 9,110
Ni labda uanze na ulichonacho mkononi au utafute kwenye vyanzo vingine.mkuu, hivyo nitumie mbinu gani nyingine nifanikishe wazo langu..
Na usidanganyike ukatafuta mikopo ya uchochoroni utaumia, pamoja na benki kuwa na utaratibu huo lakini ina ukweli....shughuli kabla hujaianza huwezi kujua panda na shuka zake.