hakuna nchi duniani inaruhusu raia kumiliki mashine gun.Nataka AK..ili mnapojifanya mnawahi mabikra 72 ktk ganster paradise na kuanza shook watu hovyo.Basi tumalizane tuu kabla hujaenda nyumba mbili.
Labda umiliki gobore, mashine gun bunduki ya kivita Hakuna raia anaeruhusiwa kuimiliki tanzania.
Wanabodi nasikia Bunge na wabunge wa CCM wanalia hovyo kuwa watu wasipewe silaha. Ila Hawajui jinsi gani majambazi wanapita mitaani kuvamia na baada ya matukio ,huwa wanapiga risasi yeyote wanayemkuta njiani hata km anarudi nyumbani. Hawa hawa CCM hawajui kuwa hawana uwezo wa kuzuia watu wabaya kuwa na silaha ,wala kuzua wabaya hao kuua wema wanavyotaka.
CCM wanajifanya hawajui kuwa watu wao, wasomi wao, viongozi wao na watoto wao wamekuwa na matukio ya hovyo ya kutumia silaha na hata kusababisha mauaji. CCM Hawa hawa wanajua pia polisi wao wapo wengi tuu ni vichaa wanaoua raia hovyo, kushirikia katika ujambazi. Na Askari kama hao kuuwawa katika tukio sio dhambi. CCM Wanajua wazi jinsi gani makundi fulani ya wakulima, mengine ya wafugaji wanamiliki silaha ambazo wanatumia kupata nguvu za zaidi dhidi ya wengine.
Nahitaji bunduki ili nami nishiriki kulinda taifa na jamii yetu. CCM wasituambuzie ulimbukeni kwa vile wana hofu ya kisiasa. Jamii zenye kuishi na silaha hazina matukio ya kudhuriana km jamii zetu. Uswisi ni taifa salama sana tangu na kabla ya vita zote za dunia. Hawa jamaa kila nyumba ina bunduki zaidi ya moja, kwao kuwinda ni utamaduni na michezo. Vita ya dunia Hitler hakupenda sana hiyo nchi, kwa vile alijua kila raia anaweza tetea taifa.
Wamasai wanaume wote hutembea na sime na fimbo. Mara zote huwa hawapigani wenyewe ila adui anae waingilia na wakipigana hutumia fimbo.jamii nyingi sana zina silaha za jadi na kisasa.
Zipo jamii ambzo hata nguo hawavai ila hawana ubakaji (unless kuoa kwao kunaendana na nguvu kwanza).TUNAIHITAJI Kuwa na silaha ili jambazi, gaidi akitokea mtaani basi asitoke salama km si kushindwa kabisa kuua raia mwema.
Tunahitaji kuelimishana kuhusu silaha na maadili, tunahitaji kuelimishana kuhusu wajibu unaofuatana na kumiliki au kushika silaha, wajibu wasio nao CCM wote leo.
Wanabodi nasikia Bunge na wabunge wa CCM wanalia hovyo kuwa watu wasipewe silaha. Ila Hawajui jinsi gani majambazi wanapita mitaani kuvamia na baada ya matukio ,huwa wanapiga risasi yeyote wanayemkuta njiani hata km anarudi nyumbani. Hawa hawa CCM hawajui kuwa hawana uwezo wa kuzuia watu wabaya kuwa na silaha ,wala kuzua wabaya hao kuua wema wanavyotaka.
CCM wanajifanya hawajui kuwa watu wao, wasomi wao, viongozi wao na watoto wao wamekuwa na matukio ya hovyo ya kutumia silaha na hata kusababisha mauaji. CCM Hawa hawa wanajua pia polisi wao wapo wengi tuu ni vichaa wanaoua raia hovyo, kushirikia katika ujambazi. Na Askari kama hao kuuwawa katika tukio sio dhambi. CCM Wanajua wazi jinsi gani makundi fulani ya wakulima, mengine ya wafugaji wanamiliki silaha ambazo wanatumia kupata nguvu za zaidi dhidi ya wengine.
Nahitaji bunduki ili nami nishiriki kulinda taifa na jamii yetu. CCM wasituambuzie ulimbukeni kwa vile wana hofu ya kisiasa. Jamii zenye kuishi na silaha hazina matukio ya kudhuriana km jamii zetu. Uswisi ni taifa salama sana tangu na kabla ya vita zote za dunia. Hawa jamaa kila nyumba ina bunduki zaidi ya moja, kwao kuwinda ni utamaduni na michezo. Vita ya dunia Hitler hakupenda sana hiyo nchi, kwa vile alijua kila raia anaweza tetea taifa.
Wamasai wanaume wote hutembea na sime na fimbo. Mara zote huwa hawapigani wenyewe ila adui anae waingilia na wakipigana hutumia fimbo.jamii nyingi sana zina silaha za jadi na kisasa.
Zipo jamii ambzo hata nguo hawavai ila hawana ubakaji (unless kuoa kwao kunaendana na nguvu kwanza).TUNAIHITAJI Kuwa na silaha ili jambazi, gaidi akitokea mtaani basi asitoke salama km si kushindwa kabisa kuua raia mwema.
Tunahitaji kuelimishana kuhusu silaha na maadili, tunahitaji kuelimishana kuhusu wajibu unaofuatana na kumiliki au kushika silaha, wajibu wasio nao CCM wote leo.
Utashangaa sana ukiamka na kujua tayari tunaongozwa na machizi, tunapewa sheria na machine na na tunakaguliwa na machizi.Ndio maana machizi wamepanda majukwaa ya siasa kwa ulinzi wa chama tawala wakiwa na moto.lengo ni kutishia wapiga kura.Nahitaji machine ili machizi wakipanda kutishia watu ,tuwaambie watu amueni, chizi akiwasha baso tumfute bila shida.Kumbuka bunduki hawapewi machizi ndugu
Hiyo jinsi najua hawatanipa niliyoomba.Ila majambazi wanatuaadabisha sisi na kuwaadabisha polisi mitaani.Polisi siku hizi ukiwapigia wanakuuliza wana bunduki..anakuambia jificheni yupo pekee kituoni hawezi kuja.Nenda ktk maduka ya Tanganyika Army watakupa utaratibu wa jinsi ya kumiliki...!
Chakushanga wewe unayetaka wengine wadhibitiwe ndie unayetaka kuendelea kuwabagua watu,kuwaua wakitaka haki kwa kauli ambazo hazina fikra km zako.Kwanza MTU Kama Nicholas akipewa silaha nzito si atatumaliza wote tusiokuwa kabila lake.. . Dawa ni kuwadhibiti tu.
Utashangaa sana ukiamka na kujua tayari tunaongozwa na machizi, tunapewa sheria na machine na na tunakaguliwa na machizi.Ndio maana machizi wamepanda majukwaa ya siasa kwa ulinzi wa chama tawala wakiwa na moto.lengo ni kutishia wapiga kura.Nahitaji machine ili machizi wakipanda kutishia watu ,tuwaambie watu amueni, chizi akiwasha baso tumfute bila shida.