brainstorm007
Member
- Feb 11, 2022
- 61
- 68
Ni Pm mawasiliano yakoMm nafanya kazi kama wakala wa kampuni inayo jishughulisha na kuuza LAMI Yoyote anaweza nipatia connection
ya mtu anaenunua lami za kutengeneza barabara malipo atapata kutokana na mzigo atakaochukua unaeza acha namba yako ntakutafta mwemyewe kweny comments.
IPO godown Mbagala ila ofisi zetu zipo Makumbusho, inatokea IRAN.Lami Iko wapi? Inatoka Nchi Gani? Kuna miradi mingi ya barabara inahitaji lami ila sasa....
tayariNi Pm mawasiliano yako
Iran Iko banned 🚫 kufanya biashara kwa miradi ambayo pesa Inatoka US na Ulaya, ningekuunganisha pahalaIPO godown mbagala ila ofisi zetu zipo makumbusho, inatokea IRAN.
Mzigo upo Tanzania kabla ya BAN cio kwamba ndo tuna import leo ndo tuna malizia mzigo uliobaki thus tunafunga biashara natumaini umenielewa.Iran Iko banned [emoji724] kufanya biashara kwa miradi ambayo pesa Inatoka US na Ulaya, ningekuunganisha pahala
Sawa KakaMzigo upo Tanzania kabla ya BAN cio kwamba ndo tuna import leo ndo tuna malizia mzigo uliobaki thus tunafunga biashara natumaini umenielewa.
True!Iran Iko banned 🚫 kufanya biashara kwa miradi ambayo pesa Inatoka US na Ulaya, ningekuunganisha pahala
290,000tsh per drum 180kgMkuu weka Bei kabisa tujitathmini..
Hiyo 180kg inaweza kutumika kwa eneo lenye ukubwa kiasi gani?290,000tsh per drum 180kg
Hata shambani freshIvi nikiweka iyo ram geton si fresh
Unataka ram ngapi?Ivi nikiweka iyo ram geton si fresh
jibu zuri asante kwa kunisaidia boss.Unataka ram ngapi?
kuna 500gb kwa chumba single
Unajenga square meter ngapi290,000tsh per drum 180kg
boss mm nauza cjengi mimi sio mkandarasi.Unajenga square meter ngapi