Natafuta wateja wa mahindi nje ya nchi

Natafuta wateja wa mahindi nje ya nchi

kibovu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
748
Reaction score
789
Habari, Ndugu zangu Mimi na magunia ya mahindi yapo 6500 ninaomba kwa ambae anajua sehem mahindi yalipo na Bei nzr .


Ntashukuru Sana na Kama ikiwezekana mawasiliano yao niyapate ntashukuru sana
 
NAUZA ELFU TISINI GUNIA LA DEBE SITA
 
wakuuu tupate hata Bei ya nnje ya nnchi nipo tayari kusafirisha wakuuu
 
QUOTE="NZURI PESA, post: 29992017, member: 40141"]M
Mmmh KWA Bei hiyo Mkuu utauza Kweli? Hapa nikipo gunia Tsh 30000/= la debe 6[/QUOTE]
Wap huko mkuu
 
Bei ya soko bado iko chini. Sasa hivi ni kama Tshs.55,000 kwa gunia lenye debe sita.
 
Habari, Ndugu zangu Mimi na magunia ya mahindi yapo 6500 ninaomba kwa ambae anajua sehem mahindi yalipo na Bei nzr .


Ntashukuru Sana na Kama ikiwezekana mawasiliano yao niyapate ntashukuru sana
kenya 1600-1700kshs/90kgs bag
 
Back
Top Bottom