masolwa masalu
Member
- Feb 20, 2015
- 27
- 10
Nawaomba wana JF mnisaidie kufahamu ni wapi hapa Dar naweza kupata wataalamu waandaaji wa "Tender Documents" kwa ajili ya kushindania zabuni.
Nahitaji kufahamu pamoja na gharama. Endapo wao watapenda wenyewe kuwasiliana nami, tuwasiliane kwa 0784411525
Nahitaji kufahamu pamoja na gharama. Endapo wao watapenda wenyewe kuwasiliana nami, tuwasiliane kwa 0784411525