Natafuta wasambazaji wa mikate

Natafuta wasambazaji wa mikate

emgoa

Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
11
Reaction score
1
Natafuta wasambazaji wa mikate aina zote. Mikate ya Tshs 1000 utauziwa kwa Tshs 650 tu. Hii ni pamoja ya skonzi,kawaida,Toss na mingine. Tuko DAR wasiliana nasi kwenye no 0767609044
 
Back
Top Bottom