unauza kwa kiroba au unauzaje?Habari wadau natafuta wanunuzi wa Pilipili Mbuzi ziko SHAMBANI tayari kuvunwa idea na soko kiko inipe.
Picha tafazal ili tuzione mkuuNauza kwa kiroba, ziko maeneo ya Ruvu ila naleta Dar
na hyo ni kea heka ngap??Zaidi ya 2m mwanzo mgumu
Yes mkuu Jana nimecheck kigogo sambusa na leo alfajiri tumefanya biashara hivi sina mzigo tena.Umejaribu kucheki soko la kigogo sambusa? Manake najua pale ndio kuna wanunuzi. Mi mwenyewe nimelima zao hilo.
Heka 2na hyo ni kea heka ngap??
Heka 2
Umeme huo...naikubali sana pilipili mbuzi kuliko pilipili kichaa.
Mbegu unanunulia wap kiongoz? Na huwa zinatumia mda gan kupanda hadi kuvunaHeka 2
Mkuu kwema,
Hongera sana kwa hatua uliyofikia na Mungu akupe wepesi wa masoko.
Umesema umetumia 2M mpaka kufikia hapo,
Kama hutajali mkulima hebu tupe tips kidogo za hicho kilimo,
Kwa maana ya ujumla wake urahisi na Ugumu,
Kwa moyo mkunjufu kabisa hongera sana kwa hatua hiyo.
PamojaAkikujibu nitag kiongozi wangu