Natafuta wanunuzi wa mayai

Akifanya kwa bei hii uliyomshauri wateja wapo wengi tu na ninaweza kufanya naye biashara ila kwa bei hiyo ni kubwa sana
 
Mkuu ufugaji wangu ni wa kisasa na nimefuga kwa kuzingatia kila kitu, kwa hiyo nimejarbu kupiga hesabu nikiuza kwa hiyo bei ndio ntarudisha pesa yangu.
 
Ok fine!
 
Kwa sasa usiangalie faida,weka bei itakayokava baadhi ya garama ili mzigo utoke kwa haraka na pia uweze kukamata soko;lasivyo mzigo utakuaribikia na hutoona faida ya huo mradi.
 
Kwa sasa usiangalie faida,weka bei itakayokava baadhi ya garama ili mzigo utoke kwa haraka na pia uweze kukamata soko;lasivyo mzigo utakuaribikia na hutoona faida ya huo mradi.
Ok mkuu.
 
Mmmmh!!!
Huku kwetu elfu 9 ni bei ya tray moja la mayai ya kienyeji.
Hiyo bei imechangamka sana mkuu, nafikiri ungefikiria kwanza kutengeneza base nzuri ya wateja ndio upandishe bei.

Anyway, kilalakheri mkuu.
 
Mmmmh!!!
Huku kwetu elfu 9 ni bei ya tray moja la mayai ya kienyeji.
Hiyo bei imechangamka sana mkuu, nafikiri ungefikiria kwanza kutengeneza base nzuri ya wateja ndio upandishe bei.

Anyway, kilalakheri mkuu.
Ahasante sana.
 
Mkuu ufugaji wangu ni wa kisasa na nimefuga kwa kuzingatia kila kitu, kwa hiyo nimejarbu kupiga hesabu nikiuza kwa hiyo bei ndio ntarudisha pesa yangu.
hongera sana MWENYEZI MUNGU akakupe kibali na upendeleo uweze kuuza kumb 28:5-6
 
Dah basi mayai yameshuka sana kipindi hiki. Kuna jamaa akimletea bosi anamuuzia kwa 8000 ila jana tumeyafuata Tandika bei ni 6500
 
Bei kubw
Bei kubwa sana kwasasa bei imesimama 5,500/= ila kwangu nauza 6,800/= Moro
 
Nina office hapo Gairo karibu na Kibaigwa nauza kwa 8,500/= ukihitaji nitafute tufanye biashara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…