Natafuta wakulima wanaolima mazao haya

Natafuta wakulima wanaolima mazao haya

nyaggad

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
1,160
Reaction score
694
Habari,natafuta wakulima wanaolima mazao haya,maharage,njegere,mahindi,mananasi na Michele niwasaidie namna ya kupata masoko makubwa ya mazao yao,wawe Tayari hayo mazao yapo shambani bado hawajavuna au wawe Tayari wamevuna ila sio mda mrefu!
Wanitafute WhatsApp 0719269820!

Nb: nahitaji wakulima tu sitaki madalali au mawakala wa aina yoyote!
 
mkuu mm nina kitunguu swaumu,kitunguu maji na mpunga upon stop kama gunia 75 kitu super wa rukwa.. lakn kama unaitaji na mahind yanaweza patikana njoo pm
 
Back
Top Bottom