Kiungo cha biaHops ni nini mkuu?
Mkuu hilo zao halilimwi bongo na mpaka sasa sijui kwanini.Habari wakuu. Kama kuna mkulima wa zao la Hops naomba tuwasiliane hapa 0786817145 au 0768734611
Nashukuru kwa majibu. Naambiwa kwamba hali ya hewa ya hapa haifai kwa kilimo hicho. Breweries wanaagiza kutoka South Africa. Nasikia Kenya wanajaribu kulima.Mkuu hilo zao halilimwi bongo na mpaka sasa sijui kwanini.
Hata hivyo itakupaswa ujue unalima hops ya aina gani ili uendane na mahitaji ya soko la hapa.
Pia kulilima sio tabu, bali kiwanda cha kuisindika na kuifanya kutumika ktk bia.