Natafuta wakala "Agent" wa TANESCO

Natafuta wakala "Agent" wa TANESCO

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
4,501
Reaction score
6,900
Heshima kwenu wadau.
Kuna siku niliona mtu kapost akieleza kwamba yeye ni wakala wa tanesco anaweza muunganisha umeme na pia kuuza nguzo. Namuhitaj huyo mtu au wakala mwingine 'authorised' ili niongee nae kuhusu kuniunganishia umeme sehemu flani hivi kijijini. Asanteni.
 
Back
Top Bottom