habari wanajamvi, natafuta binti au kijana alietayari kufanya kazi ktk clinic yangu ipo dar Tabata Aroma ndan ya jengo la Aroma house. clinic ni ya tiba mbadala. mwenye sifa zifuatazo anakaribishwa; Awe amemalza form 4 au form 6 lakini awe na certificate au diploma ya nursing au medicine. Unakaribishwa kwa maelezo zaid nicheck kny 0658738888 au niPM . muda ni siku7 tangu leo.