Gharama hizi ni za kufanya savei na kutayarisha technical report ambayo ina maelezo ya kumsaidia mchimbaji kujua maji yako umbali gani na kiwango cha maji.
Gharama za kuchimba kisima inategemea na kampuni uliyowapa kazi, lakini ziko kati ya shilingi 50,000 hadi 80,000 kwa mita moja.
Gharama hizo ni pamoja na kufunga mabomba chini ya ardhi na kusafisha kisima, kama unataka wafunge pump, utalipia gharama za manunuzi na kufunga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.