Achana na upuuzi wa star times. They are hopeless, si vizuri ukawadhulumu wanasongea kwa low quality TV services. Acha hiyo kitu kama hutaki kuhukumiwa na mungu.
Kama wewe ni CCM go ahead..........lakini ni upuuzi mtupu huo. Hawa ndio wanaotupa umaskini na kuchukua ajira za wamachinga maana wachina wote wanakuja kupitia star times.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.