Natafuta uwakala wa star times

fige

JF-Expert Member
Jul 4, 2010
376
61
Sina hakika kama songea ving'amuzi vya star times vinafanya kazi.kama vinafanya kazi kama kuna mtu humu anajua jinsi ya kupata uwakala naomba anijuze.
 
Sina hakika kama songea ving'amuzi vya star times vinafanya kazi.kama vinafanya kazi kama kuna mtu humu anajua jinsi ya kupata uwakala naomba anijuze.

Achana na upuuzi wa star times. They are hopeless, si vizuri ukawadhulumu wanasongea kwa low quality TV services. Acha hiyo kitu kama hutaki kuhukumiwa na mungu.
 
Kama wewe ni CCM go ahead..........lakini ni upuuzi mtupu huo. Hawa ndio wanaotupa umaskini na kuchukua ajira za wamachinga maana wachina wote wanakuja kupitia star times.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom