Natafuta Ultrasound Machine

Natafuta Ultrasound Machine

KIJANA2013

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
466
Reaction score
201
Habari wana JF

Kwa yeyote anayeuza Ultrasound Machine used au vifaa tiba vya Hospital naomba awasiliane na mimi please.

Nawasilisha
 
Wasiliana na prof. maji marefu, anaweza kukupatia vifaa vyake.
 
Ulimsikia kuwa anauza vifaa tiba vyake?
Kwa ajili ya ukongwe wake kwenye fani, naamini anavyo vya kuuza hata kutoa msaada ili fani itoe mchango chanya kwa jamii.😀
 
Back
Top Bottom