SlimBoy
Member
- Oct 13, 2013
- 29
- 8
Kwanza nashukuru sana being kwa hili jamvi
Mm nimemaliza diploma ya procurement and logistics mgt TIA ila mpk leo hii sijaweza na kuendelea kusoma kwa tatizo la ada yeyote mwenye idea amvapo naweza pata ufadhili wa kusoma degree ntafyrahi sana huwa nashindwa hata kuomba chuo kwa kuwa sina uhakika na ada
Sifa za kuendelea na degree ninazo
Mm nimemaliza diploma ya procurement and logistics mgt TIA ila mpk leo hii sijaweza na kuendelea kusoma kwa tatizo la ada yeyote mwenye idea amvapo naweza pata ufadhili wa kusoma degree ntafyrahi sana huwa nashindwa hata kuomba chuo kwa kuwa sina uhakika na ada
Sifa za kuendelea na degree ninazo