Kama utapata mtazamo wa kupata tractor mpya, india made Mahindra.
Kuanzia 15HP, 45HP, 60HP, 70HP and 80HP.
Ploughs na Power tillers pia zipo.
Tupo Kibaigwa Dodoma.
Tupigie kwa 0685199512
Mkubwa yapo hayo unayoyataka na unaletewa mpaka hapo gharama zako ww ni manunuzi, ushuru na kulitoa tu. Bill of Ladding zote unatumiwa before arrival. Delivery ndani ya wiki sita kutoka UK. Kama upo interested ni PM.
Kuna tractor nne zinauzwa; 1.New holland 80, vatra kubwa,mantrack, na nyingine moja nimesahau jina lake ila nayo ni kubwa.Hizo tractor zilikua zinafanya kazi ya barabara.kama uko interested nicheki kwa 0762144142