Nahitaji second hand tractor la kununua ambalo halija lima hapa Tanzania, make ni Fm 240 au ford 3500.lisiwe Turbo power.Kama litakuwa NA Majembe yake bora zaidi (jembe la kawaida na la tuta)
Kama utapata mtazamo wa kupata tractor mpya, india made Mahindra.
Kuanzia 15HP, 45HP, 60HP, 70HP and 80HP.
Ploughs na Power tillers pia zipo.
Tupo Kibaigwa Dodoma.
Tupigie kwa 0685199512
Nahitaji second hand tractor la kununua ambalo halija Lima hapa Tz.make ni Fm 240 au ford 3500.lisiwe Turbo power.kama litakuwa NA Majembe yake bora zaidi (jembe la kawaida na la tuta)
Nahitaji second hand tractor la kununua ambalo halija Lima hapa Tz.make ni Fm 240 au ford 3500.lisiwe Turbo power.kama litakuwa NA Majembe yake bora zaidi (jembe la kawaida na la tuta)
Mkuu waweza wasiliana na company inayoshughulika na uuzwaji wa tractors na plough mapya na used .
Tel 255 27 254 8587 au 254 4337 wapo arusha pia ni wauzaji wa spare parts, valtra valmet
Kuna tractor nne zinauzwa; 1.New holland 80, vatra kubwa,mantrack, na nyingine moja nimesahau jina lake ila nayo ni kubwa.Hizo tractor zilikua zinafanya kazi ya barabara.kama uko interested nicheki kwa 0762144142
Mkubwa yapo hayo unayoyataka na unaletewa mpaka hapo gharama zako ww ni manunuzi, ushuru na kulitoa tu. Bill of Ladding zote unatumiwa before arrival. Delivery ndani ya wiki sita kutoka UK. Kama upo interested ni PM.