Natafuta sugar dady wa kunilea

weka picha please
 

jiandae kutoa samvu ka kopo hlo bnti............mbna makaa chaa tupo
unapgwa mambo na pesa unatoa we mwenyewe unanipa au tatzo nin mama.......!??????
 

Kuna thread moja u should read

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/609254-pretty-girl-seeking-a-rich-husband.html

inakuhusu sana.
Beuty is just a depreciating asset, same goes with papuchi yako na tigo yako
endelea na na shule itakusaidia
 
Mamakotnae angetafta haya ungefika hapo anyway cwezi jua unarithi
 

Matokeo yameshatoka mrudi shule sasa tupumzike.
 
Mweeh!! Ngoja nimtumie mdogo wangu wa kike hela akanunue simu maana analalamika toka juzi kuwa kaibiwa simu hostel

Naandika haya nikiwa nimejawa na huruma kubwa sana na masikitiko ya hali ya juu.Unaonekana innocent na pia huna mzazi mmoja,pengine hiyo ndio sababu ya wewe kufanya haya sababu mzazi hakupi hela na boom halitoshi.Roho inaniuma sana sababu nina mdogo wa kike yupo chuo hivyo hii post yako inaniuma sababu wewe ni kama mdogo wangu.

Kama ni ugumu wa maisha basi kumbuka ulipotoka,umewezaje leo hii kufika chuo ukiwa salama mpaka ushindwe kumaliza ukiwa salama.Ishi kwa kile unachopata mdogo wangu nakusihi sana.Hakuna aliyeumbwa tajiri so hata wewe utapata tu siku moja.
 
Risk out of bravado...
Kuna wadada wengine kwa kweli Mungu anafanya makosa kutoandika usoni mambo machafu sana waliyowahi kufanya.!
 
Mzee leo nimeipenda jf...nlikua naona watu hawana utu..kumbe wana utu...na hawa watoto wa dizaini hii wapo wengi kweli bongo huko dah
 

nenda dodoma wapo wakutosha ww tuu na uzuri wako vikao ndo kwanza vimeanza so wahi kabla ubize ujaanza!

#angalia yasikukute kama yule wa kapuya#
 

Advisably, refine your life style before it's too late (but kama bado hujachelewa). Otherwise, just maintain the move and Get ready as well to pay the price of being hell-bound! Lord's mercy be upon YOU cutie.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…