maisha uliyo yachagua ndio yanayo kutesa dada! hebu try plan B. ishi kama unavyo takiwa kuishi yaani wife material,,uone kama watu hawajagombania kuleta posa hapo! sasa wewe unaishi kama kindege, unafikiri utapata Mume! ladba wa kichina!Asante mkuu ila kila mtu na maisha yake
maisha uliyo yachagua ndio yanayo kutesa dada! hebu try plan B. ishi kama unavyo takiwa kuishi yaani wife material,,uone kama watu hawajagombania kuleta posa hapo! sasa wewe unaishi kama kindege, unafikiri utapata Mume! ladba wa kichina!
sema usaidiwe wapo wenye uelewa mpana huku, mwisho wako wa maamuzi kwa wenzio ndio mwanzo.Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
siwezi gawa kizaz changu kama karanga, naheshimu sana damu yangu hata aje na trilioni simpi labda awe mke wanguMi nauza , kama upo serious ni pm tuongee biashara
Poasiwezi gawa kizaz changu kama karanga, naheshimu sana damu yangu hata aje na trilioni simpi labda awe mke wangu
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.
Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).
Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Ningehitaji msaada ningesema mkuu
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.
Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).
Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.
Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).
Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Kuchangia mada au ku-donate sperms. ?Jinsi ya kuchangia tafadhali
Tatzo la kuchanganya kiswahili na kiingerezaKuchangia mada au ku-donate sperms. ?
Usile mbegu wewe.
Contribute, Donate..: kiswahili ni kuchangia tu: ila kwa maana ya mhitaji kuna watu wamependekeza njia ya kuweka kwenye mfuko, then atajimiminia mwenyewe kwa kadri ya mahitaji yake. Ili kujiepusha kuchangia nje na kuambulia mengine, tikisa kabla ya kutumia.Tatzo la kuchanganya kiswahili na kiingereza
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Hivi nikifungua duka sperm nitapata pesa...!Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.
Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).
Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm
Utakuwa mbaya wewe...!Nimeshaumizwa sana kimapenzi kiasi cha kuamua kuachana kabisa na haya mambo ila nahitaji tu kuzaa Kwa sasa mana umri ushaanza kunitupa mkono.
Naomba mwanaume aliyetayari kunizalisha ajitokeze, awe mweupe na mrefu kiasi na awe tayari kuwa karibu nami katika kipindi chote cha kulea mimba ili niwe vizuri kisaikolojia na hivyo kutomdhuru mtoto tumboni (si lazima anihudumie kifedha ila tu awe karibu nami).
Baada ya mtoto kuzaliwa ni uamuzi wake kuwa karibu na mawanae au kumpotezea, nishajiandaa kisaikolojia kuwa single mother so sitampa mzigo wowote.
Uliye tayari kunisaidia njoo pm