Natafuta sound engineer

Natafuta sound engineer

Samedi Amba

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2018
Posts
227
Reaction score
178
Habari za asubuhi,
kanisa letu lilinunua mitambo hivi karibuni, na tunatafuta mtu wa kutusaidia kuseti sound mixing. tuna mics kama 20 hivi, mini mixers 4, boosters 2 na mixers 2, full range speakers 2 na monitor speaker.

Natafuta PA technician aliye na uzoefu katika mixing na aliye na sikio la tatu kwa ajili ya kubalance sauti zote.

Kwa details zaidi tuonane inbox. Please quote bei zako kwa ajili ya kuseti mitambo hii na kutufanyia training kama idara (nina church PA staff wanne hivi).
 
Mimi nashangaa kwa nini suala la kumiomba Mungu linakuwa completed hivi ? Unawezaje kuweka mitambo hayo kanisani ,hivi kusemaje ukiweka midundo ya kutosha ndio inasababisha Mungu ajibu Maomba kwa haraka hivi?
 
Mimi nashangaa kwa nini suala la kumiomba Mungu linakuwa completed hivi ? Unawezaje kuweka mitambo hayo kanisani ,hivi kusemaje ukiweka midundo ya kutosha ndio inasababisha Mungu ajibu Maomba kwa haraka hivi?
Kuna kanisa lina kwaya hata tatu, wazee, vijana, kuabudu na bado mic kama sita, mixer lzm ziwe za kutosha
 
Mimi nashangaa kwa nini suala la kumiomba Mungu linakuwa completed hivi ? Unawezaje kuweka mitambo hayo kanisani ,hivi kusemaje ukiweka midundo ya kutosha ndio inasababisha Mungu ajibu Maomba kwa haraka hivi?
Sio swala la midundo, ni suala la kubalance sauti wakati wa ibada, na kumake sure waumini wanasikiliza
 
Nachukia Makanisa yanapiga mziki kwa sauti ya juu na kuwa kero kwa majirani naaamini makanisa ya aina hii yanamwabudu shetani mwenye ukiziwi hivyo lazima yatumie hizo brust PA
 
Back
Top Bottom