HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Habari wakuu natafuta soko la kuuza vanila nina kilo kama 400 hivi pia nataka kujua bei ya kilo moja ni gani naomba mwongozo tafadhali
mkuu, nina tani 20 na zaidi, dm tuzungumze zaidiNanunua kilo Tsh 20,900.00. Kiasi chochote