WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,307
- 953
Nina shamba la Sungura wazazi 45 sasa wamefika 140 natafuta mnunuzi based ya muasisi wangu toka Kenya kuaga soko.
Toa pesa upate sungura mkuuPOLE
100%Biashara ya sungura haina tofauti na forex ya Antorio
Labda ukauze kwa walevi. Nilifuga sungura mwisho wa siku niliwachinjia mbwa!!!. Biashara kichaa hii.
Mkuu ulishindwa ata kuwala nyama choma?Labda ukauze kwa walevi. Nilifuga sungura mwisho wa siku niliwachinjia mbwa!!!. Biashara kichaa hii.
Aahhaaaaa (cheko la dharau) ulishawahi sikia mtu forex trader anatangaza kutafuta mteja?Biashara ya sungura haina tofauti na forex ya Antorio
Naskia nyama ya sungura tamu na laini kuliko ya kuku, ni kweli??Labda ukauze kwa walevi. Nilifuga sungura mwisho wa siku niliwachinjia mbwa!!!. Biashara kichaa hii.
Labda ukauze kwa walevi. Nilifuga sungura mwisho wa siku niliwachinjia mbwa!!!. Biashara kichaa hii.








