mzawa_original
Member
- Jan 2, 2019
- 9
- 4
Habari ya asubuhi wapendwa khari ya mwaka mpya ndugu natarajia kuvuna nyanya zangu shamban ili kuondoa ukata wa January natafuta bei nzuri ya nyanya kuanzia tenga 50 Na kuendelea katika kipindi cha mwezi huu ningependa kujua bei nzuri ikoje Na eneo gani naweza peleka mzingo wangu inapatikana hapa dar ila mzigo unatoka mkoa nakuletea ulipo kikubwa maelewano Na uaminifu kwa masiliano 0766090956
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app