Barackachess
Senior Member
- Sep 1, 2018
- 158
- 123
Habari, Mimi nimelima mihogo, Ipo mlandizi sehemu moja inajulikana kwa jina la mzenga, ,Nimekosa soko, Naombeni mnisaidie ni wapi naweza pata soko, Nimelima heka 4 , Aina ya mihogo na mbegu ya mihogo inajulikana na MKIU. Nahitaji mawazo yenu hapa tu share kwa pamoja au kwa anae hitaji kununua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app