Natafuta Soko la Mihogo

Natafuta Soko la Mihogo

chodoo

Member
Joined
Mar 6, 2012
Posts
93
Reaction score
34
Nimelima Mihogo aina ya kiroba Eka tatu na sasa iko tayari Kwa ajili ya kuvunwa, Naomba msaada Kwa anayejua Soko zuri la Mihogo ningependa kuuza Kwa jumla.
 
Nimelima Mihogo aina ya kiroba Eka tatu na sasa iko tayari Kwa ajili ya kuvunwa, Naomba msaada Kwa anayejua Soko zuri la Mihogo ningependa kuuza Kwa jumla.

Japo sina hakika kipindi hikii kama ni kizuri kufanya hiyo biashara sababu mihogo mingi haiivi. Lakini pitia masokoni uonane na madalali am sure watakugombea
 
Japo sina hakika kipindi hikii kama ni kizuri kufanya hiyo biashara sababu mihogo mingi haiivi. Lakini pitia masokoni uonane na madalali am sure watakugombea
OK nitajaribu km ulivyoshauri
 
TUMA Neno JAMBO kwenda 0623753016 kisha fata maelekezo ili uweze kuunganishwa na SOKO la mazao ulionayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom