Natafuta soko la mchele

Natafuta soko la mchele

Francis14

Member
Joined
Jul 6, 2020
Posts
7
Reaction score
2
Nataka nidhubutu kuwa nauza mchele kwa kusafirisha kutoka mikoa ya magharibi kwenda mikoa ya mashariki

Tupeane Chanel wadau japo mtaji no mdogo la nataka nianze na huo huo, nasikia inalipa endapo utapata shule uwe unazihudumia, Taasisi ama Kampuni

Tupeane channel wadau

IMG_20200707_161838_091.jpg
 
Waheshimiwa, Habari za uzima?

Nataka nianze biashara ya mchele kutoa mikoa ya Mbeya, Morogoro, Tabora na Singida niwe napeleka Arusha, Moshi, Dodoma. Tupeane mnyumbuliko wapendwa, sina uzoefu na hii kazi.

Tusaidizane jamani
 
hii biashara haihitaj uwe na hrk ya faida'
kusany mpunga wako msimu huu.
then novemb ' disemba anza kuuza mchele.
utaon mavumba
 
hii biashara haihitaj uwe na hrk ya faida'
kusany mpunga wako msimu huu.
then novemb ' disemba anza kuuza mchele.
utaon mavumba
Mwaka huu sijui itakuwaje sababu kila mtu anahifadhi mpunga ili aje kuuza baadae. Na mchele ni mwingi sana safari hii....
 
M nataka niwe nanunua mchele na ninauza kwa mikoa ya kusini na mashariki nitapataje wadau niwe nawapelekea mzigo!??
 
Waheshimiwa, Habari za uzima?

Nataka nianze biashara ya mchele kutoa mikoa ya Mbeya, Morogoro, Tabora na Singida niwe napeleka Arusha, Moshi, Dodoma. Tupeane mnyumbuliko wapendwa, sina uzoefu na hii kazi.

Tusaidizane jamani
Kilo utauzaje?
 
Mi natafuta soko kuendana na mahali ulipo nakuletea mfano nikitoa Tabora mchele mzuri una 1800 hadi 1700 grade 1 kwa mikoa ya Arusha ,Dodoma na kilimanjaro
 
Mwaka huu sijui itakuwaje sababu kila mtu anahifadhi mpunga ili aje kuuza baadae. Na mchele ni mwingi sana safari hii....
Mvua zimenyesha Sana mpunga umetoka Sana Kama ilivyo kwa Kambale.
 
Leta Dar utauza vizuri tu huko Arusha na Kilimanjaro sa hivi mchele umeshuka sana hadi 1500 kwa kilo. Pia wana aina yao ya mchele wanaolima ambao bei ni rahisi zaidi.
 
Back
Top Bottom