Natafuta Soko la Mchele

Natafuta Soko la Mchele

massimu jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2016
Posts
542
Reaction score
595
Habari zenu wana JF, me ni mfanyabiashara ambaye nanunua mpunga kwa wakulima then nakoboa na kuuza mchele kwa jumla sasa kama mwezi hv soko limeyumba natafuta mtu ambaye anajua wapi masoko yanapatikana ili naleta mzigo au km kuna mtu anahitaji anichek tufanye biashara nipo morogoro turiani huku kilo moja kwa bei ya jumla ni 1600 ~ 1700
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom