Habari wana jamiiforum na wasomaji wote wa habari za matangazo madogodogo. Mi naitwa DEOGRACIUS JOSHUA ,Ama waweza niita DEO MAYAI. Nipo ninapatikana jijini dodoma sehemu chamwino, ni mjasiriamali wa kuuza mayai ya kienyeji pamoja na kuku wa kienyeji.
.
MAYAI YA KIENYEJI
ninatafuta soko la mayai kwa mikoani na hata Dodoma pia, kwa watu wa majumbani sokoni madukani na kila sehemu yenye uhitaji nayo panapo uhitaji tutafanya biashara. Bei ni Tsh. 12,000/= kwa trey moja kwa wakazi wa Dodoma, na Tsh. 13,000/= kwa wateja wa mikoani. Usafirishaji ni juu yangu.
Mawasiliano yangu ni 0685564008 na 0659825820
.
.
KUKU WA KIENYEJI
Pia ninauza KUKU wa kienyeji pekee kwa bei ya Tsh. 13,000/= na Tsh. 14,000 kutokana na ukubwa ndo mana bei zimetofautiana .
Mawasiliano namba 0685564008 na 0659825820
.
.
MAYAI VIZA
Katika kuuza mayai pia kwa wale wanaokuwa na uhitaji wa mayai visa pia yanapatikana bei ni Tsh. 1,000/= kwa kila yai viza moja. Usafirishaji ni juu yangu.
Mawasiliano moja kwa moja kwangu
DEO MAYAI
0685564008
0659825820
Chamwino dodoma