Bishop Hiluka
R I P
- Aug 12, 2011
- 7,150
- 14,724
Usifananishe kutokujua kuendesha gari na kufanya biashara. Unaweza kueleza hiyo tathmini yako umeifanyaje na kujua kuna faida kama hata soko la kuuzia bidhaa zako hulijui?Wangapi wananunua gari wakiwa c madereva? Ila katika tathmini yng niliopiga nimeona ni biashara yenye faida ndo maana nikaamua niifanye
Hata hivyo, kwa ushauri wangu nadhani hakuna haja tena ya kuendelea kujiuliza kwa kuwa tayari mashine unazo, amua tu kuanza biashara na soko utalisoma taratibu, utajikuta ukigundua matatizo mengi ya kuyarekebisha, maana kuna msemo unaosema: "Tofauti ya mtu aliyefanikiwa na wengine sio ukosefu wa maarifa, na wala sio ukosefu wa kipaji, bali ni kushindwa kuthubutu"...