Natafuta Soko la Madini ya aina hizi

Natafuta Soko la Madini ya aina hizi

gelevahekejr

Senior Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
120
Reaction score
16
Kwa mtazamo wa kawaida; Ni jeupe, linaangaza sana, ukichukua tochi ukimulika mwanga unarudi, hili ni jiwe moja ambalo kwa juu kuna vijiwe vingi sana ambavyo vina maumbo mengi, kwa mfano nyumba za Tembo..

Je, haya ni aina gani ya madini? Nijuzeni tafadhali..

=======

Nina mawe aina ya rutile quartz.

Vipi soko lake mawe ambayo yana vitu kama mizizi mizizi kwa ndani?

Naombeni kujua soko linapatikana wapi ninataka kujua ili niuze.
 
kwa mtazamo wa kawaida nikwamba jeupe lina angaza sana ukichukua tochi ukimulika mwanga una rudi hala ni jiwe moja ambalo kwa juu kuna vijiwe vingi sana ambavyo vina maumbo mengi kwa mfano nyumba za tembo

Hata Almas huwa Ina picha.........hebu lete picha wazee wa miamba tung'amue...........
 
Tuambie umeyaona wapi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
natumia mchina simu yangu nokia imepasuka tachi nifanyaje niweze kuapload
 
lina maumbo mazuli yasio halibiwa sina upelelezi wowote njoo inbox
 
kwa mtazamo wa kawaida nikwamba jeupe lina angaza sana ukichukua tochi ukimulika mwanga una rudi hili ni jiwe moja ambalo kwa juu kuna vijiwe vingi sana ambavyo vina maumbo mengi kwa mfano nyumba za tembo
f/b unatumia jina gani?
 
ndugu mm kuomba msaada wa utambuz nimekuwa tapeli sasa nataka nikutapeli nn
 
Nahaya mawe vipi soko lake kama kuna mtu ananunua haya mawe.

Tuongee pm
 
Back
Top Bottom