Simu ni Samsung tu.Unazungumzia simu gani
Kama Samsung j7 au note 4 unapata kwa bajet ykoOk model gani ya samsung? Na bei yake ni ngap
Kuna samsung note 4 imetumika miezi 5Wataalamu wa techs najua mtanisaidia katika hili,natafuta smartphone iliyo na sifa zifuatazo
1. Memory kuanzia 16 Gb
2. Iwe na quality camera
Bajeti yangu ni 300,000-400,000 Tsh
Ushauri wenu ni wa muhimu ktk kufanikisha hili
Grand Prime +Kama Samsung j7 au note 4 unapata kwa bajet yko