kim prince msofe
Senior Member
- Feb 27, 2015
- 154
- 44
Natafuta smartphone ya shilingi elfu hamsini please mwenye anayo ani PM
hutopata smart phone kwa bei hiyo, utanunua matatizo tu ndugu, changa taratibu, ikifika kwenye laki na 30 utapata simu ya kukufaa kwa pesa yako, na ni mpya toka dukaniNatafuta smartphone ya shilingi elfu hamsini please mwenye anayo ani PM