Kama kichwa kinavojieleza nipo ubungo morden nnaihitaji simu aina yoyote iwe na hali nzuri coz kwa simu huaga sidanganywi so jishaurishe kwanza. Inahitajika kwa uharaka; nnnaofa pesa taslim Tsh100,000. KARIBUNI
Updates;
Nnashukuru kwa ushirikiano nnaoupata, lkn kesho asubuhi 20/04/17 inatakiwa kusafirishwa kwenda mkoani na muagizwaji tayar anatiket.