Natafuta simu Samsung Galaxy s3

Natafuta simu Samsung Galaxy s3

American nigga

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
699
Reaction score
1,041
Natafuta simu aina ya Samsung Galaxy s3 nina Laki Moja na Nusu isiwe clone au imechoka sana iwe katika hali nzuri, kama upo tayari niPM au niwhatsapp kwa 0764361843
 
Natafuta simu aina ya Samsung Galaxy s3 nina Laki Moja na Nusu isiwe clone au imechoka sana iwe katika hali nzuri, kama upo tayari niPM au niwhatsapp kwa 0764361843

S3 ambayo sio copy, unataka upewe kwa Laki na nusu…? Baba Jf hakuna mateja humu
 
S3 ambayo sio copy, unataka upewe kwa Laki na nusu…? Baba Jf hakuna mateja humu

We nawe kama huna si unyamaze kwani kama huna hiyo au hutaki ofa si utulie umepata faida gani sasa kwa kusema hivyo?
 
sijakuelwa unataka samsung Galax S3 kwa Tsh.150000/ Siiiiii ununue gazeti ujipepeeeeeeeeeeeeeeeeeee tu
 
Mkuu ,Samsung S3 kumbuka ni kati ya Simu ambazo zimefanya vyema katima soko la samsung.,na ndio simu ambayo ina kiwangincha kati mpaka sasa( yaani imeshindwa kupitwa na wakati) .

Sasa kwa Bei uliyoisema hapo na Vigezo ,Duuh . Kwaweli upati .

Other wise watu humu wataishia kukuota NDOROBO.
 
Hiyo bei akitaka apate simu mzuri hata kama siyo hiyo s3,aende pale tropical mtaa wa kongo vibaka watakuuzia za wizi hata chini ya hapo
 
Natafuta simu aina ya Samsung Galaxy s3 nina Laki Moja na Nusu isiwe clone au imechoka sana iwe katika hali nzuri, kama upo tayari niPM au niwhatsapp kwa 0764361843

Tembelea tropical bar pale congo kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa kumi jioni utakuwa umeshakutana nayo
 
Ushauri wangu wa Pili .

Ongeza pesa ...nenda Kariakoo ,tafuta mahali wanauza Simu used from Korea / original one,uingalie HTC 1 .. hapa ni kati ya 200000 mpaka laki 220000 akikomaa saana .
 
Una utani kweli wewe.hivi kama ingewezekana hivyo kuna MTU angenunua tecno h6 au huawei 530kwa 180!!!wakati kuna simu kubwa sana inapatikana kwa 150!!!???

Watu wanatafuta spare zake za vioo tu wanaambiwa laki mbili,si wangeishanunua used za150 tu???

Jikaze kaze uongeze ifike hata 250 utapata used.
 
Back
Top Bottom