Natafuta simu - HTC Dream (T-mobile)

Natafuta simu - HTC Dream (T-mobile)

Joined
Nov 17, 2011
Posts
62
Reaction score
13
Bajeti yangu kwa simu hiii (ambayo huwa ninai-feel sana) ni 250,000. (Laki mbili na nusu) Natamani nisiishie kupata kimeo.
Msaada wenu wapendwa.
 
mkuu dream mbona kama toleo like la siku nyingi kama sikosei.. HTC wana sensation series ... ni noman ! kuna hii inaitwa incredible S .. hutojilaumu ukiipata ..

 
Bajeti yangu kwa simu hiii (ambayo huwa ninai-feel sana) ni 250,000. (Laki mbili na nusu) Natamani nisiishie kupata kimeo.
Msaada wenu wapendwa.

kwa pesa hiyo utaishia kupata kimeo,HTC from Taiwan ni kuanzia laki 4 na kuendelea(aina yeyote ya HTC Ina anzaia bei hiyo)
ila kama unataka HTC kutoka Shanghai hapo ndio vimeo vinapo anzia
 
mkuu dream mbona kama toleo like la siku nyingi kama sikosei.. HTC wana sensation series ... ni noman ! kuna hii inaitwa incredible S .. hutojilaumu ukiipata ..

yeah
ila bei yake hataiweza hiyo ipo juu sana labda apate kutoka CHINA na sio TAIWAN
 
yeah ila bei yake hataiweza hiyo ipo juu sana labda apate kutoka CHINA na sio TAIWAN
incredible S nimenunua kama miezi 4 iliyopita kwa pesa za kibongo around laki nane...! but inaweza ikawa imeshuka kidogo.. hawajakosea kuiita incredible kwani ni incredible kwelikweli.. tatizo la HTC ni battery lakii kwenye incredible S nilikuta App ya Norton mobile utilities ukii launch alafu ukienda katika power saving utaka nayo siku 2 bila ku charge
 
Mi ninayo, tena ina tochi kabisa.
Leta hela hiyo.
 


incredible S nimenunua kama miezi 4 iliyopita kwa pesa za kibongo around laki nane...!

but inaweza ikawa imeshuka kidogo..

hawajakosea kuiita incredible kwani ni incredible kwelikweli..

tatizo la HTC ni battery lakii kwenye incredible S nilikuta App ya Norton mobile utilities ukii launch alafu ukienda katika power saving utaka nayo siku 2 - 3 bila ku charge

Yeah ni kweli,hiyo siyo simu ni bomba sana tena ukiipata ile kutoka Taiwan,bado bei yake ipo juu sana tena wewe ulipata bahati aliyekuuzia hakutaka faida kubwa sana,

kwa hapa nilipo zinauzwa 768000 pesa ya kibongo sasa sielewi bongo zitakuwa ni beigani
 
incredible S nimenunua kama miezi 4 iliyopita kwa pesa za kibongo around laki nane...! but inaweza ikawa imeshuka kidogo.. hawajakosea kuiita incredible kwani ni incredible kwelikweli.. tatizo la HTC ni battery lakii kwenye incredible S nilikuta App ya Norton mobile utilities ukii launch alafu ukienda katika power saving utaka nayo siku 2 bila ku charge
Naona hii thread ni kama mmepewa uwanja wa kuja kumwaga mbwembwe zenu, point ni kwamba ana 250,000/= anataka simu, jibu sahihi ni kwamba hapati aina hiyo ya simu.
 
mkuu dream mbona kama toleo like la siku nyingi kama sikosei.. HTC wana sensation series ... ni noman ! kuna hii inaitwa incredible S .. hutojilaumu ukiipata ..

Tatizo ni bajeti iliyopo. Unadhani ninaweza kupata hiyo sensation kwa bajeti yangu?
 
Jaribu e-bay or Amazon, you might get lucky with ur budget
 
Yeah ni kweli,hiyo siyo simu ni bomba sana tena ukiipata ile kutoka Taiwan,bado bei yake ipo juu sana tena wewe ulipata bahati aliyekuuzia hakutaka faida kubwa sana,

kwa hapa nilipo zinauzwa 768000 pesa ya kibongo sasa sielewi bongo zitakuwa ni beigani

kwa hapo ulipo wapi?
 
wanajamii wenzangu ninauza U.P.S Model:600A
600Ap
Input:AC 220-230-240V
50/60Hz
U.p.s Output:Ac 220V 230V 240V 50/60Hz
360W/600VA inasupport 4-CONNECTING OUTLETS! BEI MAELEWANO NI MPYA SEMA SINA PAKUITUMIA MI NI MWANAFUNZI SINA COMPUTER WALA LAPTOP WALA CHOCHOTE DADA ANGU KANILETEA KAMA ZAWADI SASA NIIFANYIE NINI ? NDO NAIUZAA BEI MAELEWANO NIMEMALIZA FORM FOUR KWA HIYO BADO NIPO MTAANI UNAITAKA 2MA SMS AU PIGA 0789-646573.

Kwanza Umeingilia tangazo la mtu, anzisha thread yako. Pili naona maelezo mareefu ya dada yangu aliniletea wakati mimi sina computer; huyo dada aliona zawadi ya kukuletea ni UPS wakati anajua hauna comp, au alilete vifaa vingine pamoja na hiyo na wewe ndy umeamua kuikwapua? Mwisho kabisa tafadhali weka picha ya dada pamoja na namba ya simu!
 
wanajamii wenzangu ninauza U.P.S Model:600A
600Ap
Input:AC 220-230-240V
50/60Hz
U.p.s Output:Ac 220V 230V 240V 50/60Hz
360W/600VA inasupport 4-CONNECTING OUTLETS! BEI MAELEWANO NI MPYA SEMA SINA PAKUITUMIA MI NI MWANAFUNZI SINA COMPUTER WALA LAPTOP WALA CHOCHOTE DADA ANGU KANILETEA KAMA ZAWADI SASA NIIFANYIE NINI ? NDO NAIUZAA BEI MAELEWANO NIMEMALIZA FORM FOUR KWA HIYO BADO NIPO MTAANI UNAITAKA 2MA SMS AU PIGA 0789-646573.

you are doing business within someone business!
 
Kwanza Umeingilia tangazo la mtu, anzisha thread yako. Pili naona maelezo mareefu ya dada yangu aliniletea wakati mimi sina computer; huyo dada aliona zawadi ya kukuletea ni UPS wakati anajua hauna comp, au alilete vifaa vingine pamoja na hiyo na wewe ndy umeamua kuikwapua? Mwisho kabisa tafadhali weka picha ya dada pamoja na namba ya simu!

hahahaaa! Mwache mwenzako na dada yake, kwani we unataka ups au dada yake?
 
wanajamii wenzangu ninauza U.P.S Model:600A
600Ap
Input:AC 220-230-240V
50/60Hz
U.p.s Output:Ac 220V 230V 240V 50/60Hz
360W/600VA inasupport 4-CONNECTING OUTLETS! BEI MAELEWANO NI MPYA SEMA SINA PAKUITUMIA MI NI MWANAFUNZI SINA COMPUTER WALA LAPTOP WALA CHOCHOTE DADA ANGU KANILETEA KAMA ZAWADI SASA NIIFANYIE NINI ? NDO NAIUZAA BEI MAELEWANO NIMEMALIZA FORM FOUR KWA HIYO BADO NIPO MTAANI UNAITAKA 2MA SMS AU PIGA 0789-646573.

Jffffffff ah mpaka raha,
Unazawadiwa matairi ya gari na wewe hauna gari ......
Me sio mnunuzi ila mtoa zawadi nahisi hayuko serious
 
Bajeti yangu kwa simu hiii (ambayo huwa ninai-feel sana) ni 250,000. (Laki mbili na nusu) Natamani nisiishie kupata kimeo.
Msaada wenu wapendwa.
Mimi naweza kukupatia kwa bei hio ya laki mbili na nusu nyeusi ( ya keyboard) imetumika kutoka UK genuine sio ya mchina. utaipata wiki ijayo kuanzia tarehe 1.
Kama bado unaihitaji nijulishe asap.
 
Back
Top Bottom