Esther Kimario
Member
- Nov 17, 2011
- 62
- 13
Bajeti yangu kwa simu hiii (ambayo huwa ninai-feel sana) ni 250,000. (Laki mbili na nusu) Natamani nisiishie kupata kimeo.
Msaada wenu wapendwa.
Msaada wenu wapendwa.
Bajeti yangu kwa simu hiii (ambayo huwa ninai-feel sana) ni 250,000. (Laki mbili na nusu) Natamani nisiishie kupata kimeo.
Msaada wenu wapendwa.
yeahmkuu dream mbona kama toleo like la siku nyingi kama sikosei.. HTC wana sensation series ... ni noman ! kuna hii inaitwa incredible S .. hutojilaumu ukiipata ..
incredible S nimenunua kama miezi 4 iliyopita kwa pesa za kibongo around laki nane...! but inaweza ikawa imeshuka kidogo.. hawajakosea kuiita incredible kwani ni incredible kwelikweli.. tatizo la HTC ni battery lakii kwenye incredible S nilikuta App ya Norton mobile utilities ukii launch alafu ukienda katika power saving utaka nayo siku 2 bila ku chargeyeah ila bei yake hataiweza hiyo ipo juu sana labda apate kutoka CHINA na sio TAIWAN
incredible S nimenunua kama miezi 4 iliyopita kwa pesa za kibongo around laki nane...!
but inaweza ikawa imeshuka kidogo..
hawajakosea kuiita incredible kwani ni incredible kwelikweli..
tatizo la HTC ni battery lakii kwenye incredible S nilikuta App ya Norton mobile utilities ukii launch alafu ukienda katika power saving utaka nayo siku 2 - 3 bila ku charge
Mi ninayo, tena ina tochi kabisa.
Leta hela hiyo.
Naona hii thread ni kama mmepewa uwanja wa kuja kumwaga mbwembwe zenu, point ni kwamba ana 250,000/= anataka simu, jibu sahihi ni kwamba hapati aina hiyo ya simu.incredible S nimenunua kama miezi 4 iliyopita kwa pesa za kibongo around laki nane...! but inaweza ikawa imeshuka kidogo.. hawajakosea kuiita incredible kwani ni incredible kwelikweli.. tatizo la HTC ni battery lakii kwenye incredible S nilikuta App ya Norton mobile utilities ukii launch alafu ukienda katika power saving utaka nayo siku 2 bila ku charge
Tatizo ni bajeti iliyopo. Unadhani ninaweza kupata hiyo sensation kwa bajeti yangu?mkuu dream mbona kama toleo like la siku nyingi kama sikosei.. HTC wana sensation series ... ni noman ! kuna hii inaitwa incredible S .. hutojilaumu ukiipata ..
Mi ninayo, tena ina tochi kabisa.
Leta hela hiyo.
kuna mtu anayo ila ina lock ya network.
Yeah ni kweli,hiyo siyo simu ni bomba sana tena ukiipata ile kutoka Taiwan,bado bei yake ipo juu sana tena wewe ulipata bahati aliyekuuzia hakutaka faida kubwa sana,
kwa hapa nilipo zinauzwa 768000 pesa ya kibongo sasa sielewi bongo zitakuwa ni beigani
wanajamii wenzangu ninauza U.P.S Model:600A
600Ap
Input:AC 220-230-240V
50/60Hz
U.p.s Output:Ac 220V 230V 240V 50/60Hz
360W/600VA inasupport 4-CONNECTING OUTLETS! BEI MAELEWANO NI MPYA SEMA SINA PAKUITUMIA MI NI MWANAFUNZI SINA COMPUTER WALA LAPTOP WALA CHOCHOTE DADA ANGU KANILETEA KAMA ZAWADI SASA NIIFANYIE NINI ? NDO NAIUZAA BEI MAELEWANO NIMEMALIZA FORM FOUR KWA HIYO BADO NIPO MTAANI UNAITAKA 2MA SMS AU PIGA 0789-646573.
wanajamii wenzangu ninauza U.P.S Model:600A
600Ap
Input:AC 220-230-240V
50/60Hz
U.p.s Output:Ac 220V 230V 240V 50/60Hz
360W/600VA inasupport 4-CONNECTING OUTLETS! BEI MAELEWANO NI MPYA SEMA SINA PAKUITUMIA MI NI MWANAFUNZI SINA COMPUTER WALA LAPTOP WALA CHOCHOTE DADA ANGU KANILETEA KAMA ZAWADI SASA NIIFANYIE NINI ? NDO NAIUZAA BEI MAELEWANO NIMEMALIZA FORM FOUR KWA HIYO BADO NIPO MTAANI UNAITAKA 2MA SMS AU PIGA 0789-646573.
Kwanza Umeingilia tangazo la mtu, anzisha thread yako. Pili naona maelezo mareefu ya dada yangu aliniletea wakati mimi sina computer; huyo dada aliona zawadi ya kukuletea ni UPS wakati anajua hauna comp, au alilete vifaa vingine pamoja na hiyo na wewe ndy umeamua kuikwapua? Mwisho kabisa tafadhali weka picha ya dada pamoja na namba ya simu!
wanajamii wenzangu ninauza U.P.S Model:600A
600Ap
Input:AC 220-230-240V
50/60Hz
U.p.s Output:Ac 220V 230V 240V 50/60Hz
360W/600VA inasupport 4-CONNECTING OUTLETS! BEI MAELEWANO NI MPYA SEMA SINA PAKUITUMIA MI NI MWANAFUNZI SINA COMPUTER WALA LAPTOP WALA CHOCHOTE DADA ANGU KANILETEA KAMA ZAWADI SASA NIIFANYIE NINI ? NDO NAIUZAA BEI MAELEWANO NIMEMALIZA FORM FOUR KWA HIYO BADO NIPO MTAANI UNAITAKA 2MA SMS AU PIGA 0789-646573.
Mimi naweza kukupatia kwa bei hio ya laki mbili na nusu nyeusi ( ya keyboard) imetumika kutoka UK genuine sio ya mchina. utaipata wiki ijayo kuanzia tarehe 1.Bajeti yangu kwa simu hiii (ambayo huwa ninai-feel sana) ni 250,000. (Laki mbili na nusu) Natamani nisiishie kupata kimeo.
Msaada wenu wapendwa.